Ilikuwa
kama ndoto lakini ni kweli yalitimia, tunaamini kimwili hauko nasi lakini
kiroho tunakukumbuka daima mpendwa wetu. Upendo wako kwa familia hautasahaulika
kamwe na hakuna wa kuliziba pengo.
Ni
miaka 11 sasa imepita tangu ulipotutoka
mpendwa wetu dada Lucy S. Wambura (Mama Luca), Unakumbukwa daima na mama
yako kipenzi Mama Lucy (Annastazia) na wadogo zako wote Dory, Grace, Theo,
Tinna, Pendo na Anna wanoa Mr, Iddi,
Jacky, Luca, Josepha (Kurwa) na Joan (Doto).
Kutakuwa
na Misa ya kumwombea marehemu siku ya
Jumamosi tarehe
05-05-2012 katika kanisa la Parokia ya bikira Maria
mama wa huruma Mbezi Beach-Tanki Bovu saa 12:30asubuhi na baada ya misa
kutembela nyumba ya milele alipolala mpendwa wetu Lucy, Makaburi ya kinondoni.
Wote
mnakaribishwa.
Raha
ya milele umpe eeeh bwana na mwanga wa milele umuangazi apunzike kwa amani –
Amina
0 comments:
Post a Comment