Waziri wa zamani na Mwanasiasa mkongwe Kingunge Ngombale Mwiru akitoa mada katika Kikao cha Wakuu wa Mikoa na Wilaya na Makatibu Tawala wa Mikoa kwenye Kituo cha Mikutano cha St.Gaspar Mjini Dodoma May 21, 2012.
Baadhi ya washiriki wa Semina ya Wakuu wa Mikoa na Wilaya pamoja na Makatibu Tawala wa Mikoa wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua kikao chao kwenye Kituo cha Mikutano cha St. Gaspar Mjini Dodoma May 21, 2012.
0 comments:
Post a Comment