Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, kutoka Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma, Zamaradi Kawawa (kulia) akimwelekeza jambo Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye alipotembelea banda la UTUMISHI lililopo katika maonesho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania bara katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere barabara ya Kilwa.
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma, George Yambesi (kushoto) akimwelekeza jambo Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye alipotembelea banda la UTUMISHI lililopo katika maonesho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania bara katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere barabara ya Kilwa.
Afisa Nyaraka za Taifa katika Ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma, Norbert Cyrille, (kushoto) (kulia) akiwahudumia wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliotembelea banda la UTUMISHI lililopo katika maonesho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania bara katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere barabara ya Kilwa
Mkutubi kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Tumushi wa Umma, Moshi Makuka,(kulia) akiwahudumia wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliotembelea banda la UTUMISHI lililopo katika maonesho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania bara katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere barabara ya Kilwa.
Afisa Utumishi Mwandamizi kutoka Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma, Hassan Rashid Shebuge (kulia) akiwahudumia wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliotembelea banda la UTUMISHI lililopo katika maonesho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania bara katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere barabara ya Kilwa.
Mshehereshaji katika Banda la Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Seif Mbembe akiwajibika nje ya banda hilo kwa kuwashawishi watu kuingia ndani ya banda hilo na kujipatia huduma mbalimbali.
Afisa Habari katika Ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma, Rehema Mbulalina, (kushoto) (kulia) akiwahudumia wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliotembelea banda la UTUMISHI lililopo katika maonesho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania bara katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere barabara ya Kilwa.




0 comments:
Post a Comment