Nafasi Ya Matangazo

July 14, 2011

 Waziri Mkuu, MIzengo Pinda akijibu maswali Bungeni Mjini Dodoma Julai 14, 2011.
Waziri Mkuu, Mizengo PInda akizungumza  na  Ujumbe  kutoka  Taasisi ya Hifadhi ya Jamii  ya Ghana, Ofisini kwake Bungeni  Mjini Dodoma Julai 14,2011.  Kulia kwake ni Waziri wa Kazi na  Ajira , Gaudencia Kabka.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimshukuru Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Hifadhi ya Jamii ya Ghana, Dr. Grand  Sapara, Ofisini kwake, Bungeni Mjini Dodoma Julai 14, 2011.
Posted by MROKI On Thursday, July 14, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo