Waziri wa Habari, Utalii,Utamaduni na Michezo, Abdilah Jihad (kushoto) akipokea jezi kutoka kwa Meneja wa kinywaji kisicho na kilevi cha Grand Malt, Consolata Adam kwa ajili ya timu ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar itakayopambana na timu ya Klabu ya Wazee ya Arusha Septemba 8, mwaka huu. Anayeshuhudia katikati ni Makamu Mwenyekiti wa timu ya Baraza, Mbarouk Mussa. Grand Malt ambayo imetoa vifaa hivyo vya michezo vyenye thamani ya sh. milioni 10, ni wadhamini wa bonanza litaloshirikisha pia vilabu vingine vya veterani.
Ni furaha ya udhamini mnono




0 comments:
Post a Comment