Nafasi Ya Matangazo

July 13, 2011

Baada ya kilio cha muda mrefu cha kuwepo umuhimu wa kuwekwa mataa katika makutano mengi ya barabara jijini Dar es Salaam hivi sasa makutano hayo hasa yale ya barabara ya Mandela yote yameanza kuwekwa taa. Pichani ni moja ya taa za kuongozea magari zilizopo mataa ya Serengeti Breweries, ambapo pia taa kama hizo zimewekwa pale Uhasibu na Tabata. 

Ingawaje watu wanahoji kuwepo kwa askari wa usalama wa barabarani ilhali taa zinafanya kazi vizuri. 
Posted by MROKI On Wednesday, July 13, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo