Nafasi Ya Matangazo

May 07, 2011

Huenda nae akawa Mwanamuziki kama alivyo wajina wake Janeth Jackson, akiwa mwenye kutamani kupokea kitu, ni siku chache kabla ya kutimiza miezi 4 tangu kuzaliwa kwake hapo Mei 10 mwaka huu. Hongera sana wazazi na Mungu awajalie muumlee vyema mtoto Janaeth Jackson.
Posted by MROKI On Saturday, May 07, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo