Nafasi Ya Matangazo

May 14, 2011

 
Hii si barabara ya kijinini ambayo labda ilibahatika kuwa na lami miaka flani na sasa imeharibika, la hasha balio hii ni moja ya mtaa wa Posta pale katikati ya Jengo la Benjamini Mkapa Tower na NMB House jijini Dar es Salaam palipo na makutano ya Azikiwe na Jamhuri, je wahusika shimo kama hili msipo liziba mwatakani?
Posted by MROKI On Saturday, May 14, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo