Nafasi Ya Matangazo

May 15, 2011

 
Walio meremeta siku ya leo ni Maharusi Thadei Komba na Biharusi Theresia ambao walifunga ndoa Mei 14, 2011 katika Kanisa Katoliki la Ubungo Msewe jijini Dar es Salaam na kufuatiwa na tafrija klubwa katika Ukumbi wa Makete. Mungu aibariki ndoa hii.
 Warembo hawa walipendezesha sana maharusi
 Hapa wakiwa nao pea pea
Kajiusafiri ka Maharusi kalikuwa haka.
Picha na MD Digital Company
Mob:+255 717 002303/0755 373999
Email: mrokim@gmail.com
Posted by MROKI On Sunday, May 15, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo