Nafasi Ya Matangazo

April 15, 2011

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimfariji  Bibi Mwanajuma Mama wa aliyekuwa katibu Mkuu Wizara ya Nchi Ustawi wa Jamii Wanawake na Watoto Zanzibar Marehemu Rahma Mshangama, aliyefariki Dunia ghafla jana Mchana na kuzikwa leo katika Makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohamed Gharib Bilal na Rais wa Zanzibar Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein katikati, wakiwa kwenye Mazishi ya aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Nchi Ustawi wa Jamii Maendeleo ya wanawake na Watoto Zanzibar  Rahma Mshangama aliyefariki Dunia ghafla jana Mchana na kuzikwa leo katika Makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar.
Mhe. Dk. Mohamed Gharib Bilal, akiweka udongo ndani ya kaburi
Posted by MROKI On Friday, April 15, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo