Nafasi Ya Matangazo

November 03, 2010

Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Hamid Mahamoud akimuapisha Dk. Ali Mohamed Shein kuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kufuatia Ushindi alioupata katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika juzi. Sherehe hizo zilifanyika leo katika uwanja wa Amani Zanzibar.
Posted by MROKI On Wednesday, November 03, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo