Nafasi Ya Matangazo

November 06, 2010

Jaji Frederick Werema akila kiapo mbele ya Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete mara baada ya kuteuliwa na Rais kuwa Mwanasheria mkuu wa Serikali leo.Sherehe za kuapishwa kwa jaji Werema zilifanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo jioni.
Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi miongozo ya Kazi Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick Werema wakati wa hafla ya kumuapisha iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo mchana.
Posted by MROKI On Saturday, November 06, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo