Nafasi Ya Matangazo

November 07, 2010

Msongamano katika jiji la Dar es Salaam umekuwa mkubwa  kila siku zinavyokwenda magari yanaongezeka ,pichani  dada huyu yupo hatarini kama invyoonekana akiwa kazini jirani na kituo cha stesheni ya reli.

Usafirishaji  wa mbolea ni mzuri kwa ajili ya kuwagawia wakulima nchini , pichani  baadhi ya mifuko ya mbolea ikiwa imeanguka baada ya kuzidiwa uzito katika barabara ya Kilwa jijini leo.
Askari wa Usalama barabarani akijitahidi kuyaongoza magari jijini  Dar es salaam leo  ili kujaribu kupunguza msongamano .
Wajasiriamali wakiwa katika eneo  la barabara ya mandela
 wameongozana  leo jijini wakati wakielekea kuuza matunda  mbalimbali kwa wakazi wa jijini .
Picha zote na Mwanakombo Jumaa wa Maelezo.
Posted by MROKI On Sunday, November 07, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo