Nafasi Ya Matangazo

November 06, 2010

Rais Mteule wa Tanzania Jakaya Kikwete akiwa kazini ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam muda mfupi baada ya kuapishwa kuendelea kuiongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Kazi ya kwanza aliyoitekeleza Rais ilikuwa kumteua Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambapo Jaji Frederick Werema aliteuliwa na kuapishwa kuendelea kushika wadhifa huo.

Posted by MROKI On Saturday, November 06, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo