Nafasi Ya Matangazo

November 23, 2010

Mkurugenzi wa VETA Kanda ya Dar es Salaam Bw. Andrew Joseph akionyeshwa na Mtaalam Muelekezi Bw. Ben Mwaipungu chombo cha Kurejeleza Vipozeo vinavyotumika katika viyoyozi wakati wa warsha ya mafundi mchundo. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira Bi Rogathe Kisanga na kushoto kwake ni Mkuu wa Chuo cha Veta Dar es Salaam Bw Samuel Ngandu Dar es salaam.
Posted by MROKI On Tuesday, November 23, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo