Nafasi Ya Matangazo

October 14, 2010

 Hili ndo soko la samaki Bagamoyo na vibanda vyake vimechoka na kuhitaji ukarabati mkubwa kutoka kwa wadau.
 Wanunuzi wa samaki wakiwa katika eneop la baharini ambako minada inafanyika kutokana na ukosefu wa eneo la kutosha kufanyia minada.
Wachuuzi wa samaki wakipaa samaki baada ya kuwanunua.
Posted by MROKI On Thursday, October 14, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo