Nafasi Ya Matangazo

October 08, 2010


Wanadili na masuala ya Chakula, Upambaji, MC, Music Video, Steel Pichuter na Ushonaji. Mbali na hivyo pia hutoa ofa kwa kila Menu kwa kutoa maji safi na salama ya kunywa kwa asilimia 7 (mfano watu 100 kwa katoni 7 watu 200 kwa kwatoni 14).

Pia kwa upande wa sahani ofa ni 7% (asilimia 7) wahudumu wa vinywaji tunatoa bure kama wanahitajika. Bei zetu za nyakula na mapambo  ni nafuu. Karibu sana mpate huduma nzuri.

Kwa mawasiliano zaidi tutwangie kwenye simu zetu za viganjani:
+255 602 141/+255 719 886 193/+255 777 602 141
+255 787 602 141/+255 773 964 441/+255 784 964 441
+255 715 964 411
 au barua pepe
jackiz77@yahoo.com
Posted by MROKI On Friday, October 08, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo