Nafasi Ya Matangazo

August 03, 2010


Katika Kuendeleza Kilimo Kwanza nchini pia wakulima hawa ambao ni wavuvi pia nao wanapaswa kukumbukwa na kupewa nyenzo za kuwawezesha kuvua samaki wanaokidhi haja na mahitaji. Pichani ni Mmoja wa wavuvi wa mjini Unghuja Kisiwani Zanzibar akitoka kuvua baharini hivi karibuni akiwa na samaki wake mkononi ambao alidai kuwauza kwa sh. 70,000/=.
Posted by MROKI On Tuesday, August 03, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo