Kamishina wa Nishati na Petroli kutoka Wizara ya Nishati na Madini Injinia Bashir Mrindoko akiongea na wadau wa sekta ya Nishati kutoka Tanzania na Trinidad na Tobago wakati wa mkutano unaojadili namna ya kushirikiana katika uwekezaji katika sekta ya Nishati leo jijini Dar es salaam. /Picha: Aron Msigwa - MAELEZO.






0 comments:
Post a Comment