Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya majaji na mawakili wakati alipohudhuria katika ufunguzi wa vikao vya mahakama ya RufaniTanzania kanda ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Julai 26,2010. Kulia kwake ni Jaji Mkuu wa Tanzania, Augustino Ramadhani.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya majaji na mawakili wakati alipohudhuria katika ufunguzi wa vikao vya Mahakama ya Rufani Tanzania kanda ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Julai 26,2010. Kushoto ni Jaji Mkuu wa Tanzania, Augustino Ramadhani.
0 comments:
Post a Comment