Nafasi Ya Matangazo

July 03, 2010

Ilikuwa ni siku ya Furaha sana kati ya Jacob Karugabwa na Bi Janeth Kasaba wakati walipoamua kufunga pingu za maisha na kuishi maisha ya mke na mume. Pichani ni katika moja ya mapozi yao baada ya kufunmga ndoa yao takatifu jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Align Center
Jacob akianguka saini ya kuishi pamoja na Janeth mbele ya Kasisi
Hapa wakipeana password za maisha yao na mahala walipo hifadhi nyaraka zao za upenndo.
Nifuraha ilioje kwa Janeth
Pozi lingine la ukumbini Jacob na Mkewe Janeth.
Asiye na asili ni mtumwa hapa kitu cha maskani kilipigwa na wote walijuuika.
Mambo toka Bukoba hayopo.
Mpango mzima wa sherehe ndo huu watu waligonga menu.

Digito Photos by:
MD Digital Company
0755 373 999
0717 002303
mrokim@gmail.com
Dar es Salaam
Posted by MROKI On Saturday, July 03, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo