Kamishna wa Operesheni Paul Chagonja akimpongeza Kamishna wa Zanzibar, Musa Ali Musa bara baada ya kumuapisha kuwa kamishna jana Makao Makuu ya Jeshi la polisi. Kamishna Musa alikua naibu Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai akiwa na cheo cha Kamishna Msaidizi Mwandamizi.
Inspekta Jenerali wa Polisi, Saidi Ali Mwema, akimpongeza Kamishna wa Zanzibar, Musa Ali Musa bara baada ya kumuapisha kuwa kamishna jana Makao Makuu ya Jeshi la polisi. Kamishna Musa alikua naibu Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai akiwa na cheo cha Kamishna Msaidizi Mwandamizi.
0 comments:
Post a Comment