Mpigapicha Athuman Hamisi leo aliozungumza na Waandishi wa Habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO na kutoa shukrani zake kwa wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine katika kuuguza tangu alipopata ajali. Kushoto ni Nesi wake Faith kutoka Afrika Kusini.
Wapigapicha wakichukua picha katika mkutano huo wa Athuman Hamisi.




0 comments:
Post a Comment