Nafasi Ya Matangazo

May 03, 2010

Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Naibu Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Waziri wa Habari,Utamaduni na Michezo,Ali Juma Shamuhuna (hayupo pichani) akifungua mkutano wa Waandishi wa Habari sambamba na Siku ya Uhuru wa Habari Duniani huko Ocean View Hoteli Kilimani Zanzibar,
Leo ni siku ya Uhuru wa vyombo vya Habari Duniani ambapo Tanzania Kitaifa inaadhimiswa Visiwani Zanzibar.
Posted by MROKI On Monday, May 03, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo