Nafasi Ya Matangazo

May 19, 2010

Ubalozo wa Marekani nchini umenusurika kulipuliwa na mwanafunzi wa shule ya msingi anayedaiwa kuhamasishwa na mafunzo aliyopewa na mtandao wa kigaidi wa Al Qaeda.

Taarifa kutoka ndani ya ubalozi huo, zimeeleza kuwa kijana huyo ambaye hakufahamika jina lake mara moja, hivi sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kituo cha Oysterbay, Dar es Salaam.

Habari zilisema mwanafunzi huyo mwenye umri wa kati ya miaka 15 na 17, alifanikiwa kuingia ndani ya ubalozi huo Jumapili iliyopita saa tatu usiku, akiwa na vifaa alivyotaka kutumia kufanyia ulipuaji huo.
Habari Kamili usikose HABARILEO
Posted by MROKI On Wednesday, May 19, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo