Nafasi Ya Matangazo

May 01, 2010

Kikosi kamili cha Taifa Stars ya Tanzania kilichotoka sare ya goli 1-1 na Rwanda. Kikosi cha timu ya Taifa ya Rwanda "Amavubi".
Mfungaji wa goli la Taifa Stras Mrisho Khalfan Ngasa (kulia) akimkimbiza Donatien Tuyizere wa Rwanda. Timu hizo zilifungana goli 1-1 katika mchezo wao kwanza wa kuwania kufunzu kucheza fainali za mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani.

Posted by MROKI On Saturday, May 01, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo