Nafasi Ya Matangazo

May 28, 2010

Rais Jakaya Kikwete akifungua pazia kuashiria uzinduzi rasmi wa mtambo wa pili wa kuzalisha saruji wa kampuni ya Tanga Cement mjini Tanga leo. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya kampuni hiyo,
Charles Claude.
Baadhi ya wafanyakazi wa kiwanda hicho wakipiga picha ya pamoja na waziri na wageni wengine.
Wakisalimiana na Waziri wa Viwanda Biashara na Masoko DK. Mary Nagu.
Nisalamu tu na Mheshimiwa...
Mwisho watu walijipongeza kwa vyuku na soda...

Posted by MROKI On Friday, May 28, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo