Nafasi Ya Matangazo

May 28, 2010

Baadhi ya Washiriki wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais wakimsikiliza Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bi Ruth Mollel }Pichani hayupo} wakati wa Ufunguzi wa Baraza Kwenye Ukumbi wa PPF Tower jijini
Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bi Ruth Mollel akifunguwa mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais uliofanyika kwenye Ukumbi wa PPF Two Kulia Mkurugenzi Utawala Bw Raymond Moshy na Kushoto ni Esther Makwaia Ofisa Mazingira Mkuu.
Posted by MROKI On Friday, May 28, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo