Nafasi Ya Matangazo

May 28, 2010

Ajali posta leo kati ya Magari ya biashara Texi na Dalala katika
barabara ya Azikiwe.

Madereva wakijadiliana namna ya kusaidiana.

Magari yalifunga njia na kuleta foleni kubwa na kufanya mengine kuzunguka mtaa wa Zanaki.

Posta kwa saa kadhaa ilikuwa nyeupe bila gari namna hii.
Posted by MROKI On Friday, May 28, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo