Nafasi Ya Matangazo

April 06, 2010

Wakati majijhi mengi Duniani yakipiga vita uchafu katika maeneo ya katikati ya jiji kwa Jiji la Dar es Salaam ni tofauti maana limeamua kuanzisha kituo maalum cha kukusanyia taka katikati ya jiji ambapo matela ya taka hujazana na kutoa harufu kali kwa siku kadhaa kabla ya kwenda kutupwa.

Pichani ni matela hayo yakiwa katika eneo la bustani ya Jiji karibu na Mnara wa Saa kando ya Barabara ya Samora.
Posted by MROKI On Tuesday, April 06, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo