Nafasi Ya Matangazo

April 06, 2010

Leo nilipata wasaa wa kuonana na watu ambao pia niliwahi kuifanya kazi yao ya kuchora ramani za watu...KATUNI, miaka hiyo lakini Kamera nikaona inafaa zaidi.
Hapa nikiwaoneshapicha King Kinya (kushoto), Baba Tau na Fadhili Mohamed picha niliyowapiga. Hii ilikuwa nje ya Ukumbi wa baraza la Maskofu leo tulipomaliza semina ya wachora katuni na wapigapicha.
Posted by MROKI On Tuesday, April 06, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo