Lakini hilo likiendelea wanawake wengi vijijini wameendelea kuteseka kwa kutembea umbali mrefu na kupata shida ya kupata maji safi na salama kwaajili ya matumizi ya familia zao.
Tatizo la maji vijijini bado limekuwa sugu na kuwafanya maelfu ya akina mama waishio vijijini kutumia muda mrefu kutafuta maji kwaajili ya matumizi ya familia zao. Pichani ni wanawake wa kijiji cha Mabungo Wilaya ya Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro, wakisubiri kuchota maji katika bomba lililopo kijijini hapo.






Kwa nini watu wanafikiri hii ni kazi ya wanamama tu???
ReplyDelete