
Wakati taifa linaelekea kuadhimisha siku ya wanawake Dunani Machi 8 2010 bado wanawake wamekuwa mstari wa mbele katika kujifanyia kazi za kujiongezea kipato.

Pichani ni mwanamke mjasiriamali akisafiri kwa guta kupeleka bidahaa zake katika eneo lake la biashara.
0 comments:
Post a Comment