Nafasi Ya Matangazo

March 16, 2010

Meya wa Jiji la Dar es Salaam Mstahiki Adam Kimbisa akimkabidhi Rais Jakaya Mrisho Kikwete zawadi ya jezi namba tisa ya Timu ya Real Madrid ya Hispania inayovaliwa na nyota wa timu hiyo Ronaldo Ikulu jijini Dar es Salaam leo kwa kutambua mchango wa Rais Kikwete katika kukuza mchezo wa soka nchini.
Posted by MROKI On Tuesday, March 16, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo