
Mzee Manilal Mathuradas Devan, ambaye alikuwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam mwaka 1959-1961. Viongozi wa zamani kama hawa wanaweza kuwa ni hazina tosha ya kupata uzoefu kwa viongozi wa sasa hasa katika kuboresha jiji kama wao walivyofanya kipindi hicho.
0 comments:
Post a Comment