Wachezaji wa Fitness Veterani, wakiwa hoi baada ya kunyukwa 1-0 na Mabibo wakati wa Bonanza la Mashujaa katika viwanja vya magereza.RATIBA YA JUMAPILI HII TIMU ZITAKAZO SHIRIKI NI:-
Sayari Woman,Segera Veterani, Kipunguni Veterani, Mtoni Veterani, Wizara ya Afya, Mabibo Veterani na Staki Shari Veterani.
Bonanza linaletwa kwenu na Mashujaa Investment & Mamaa Sakina Trans.
Burudani kabambe itatolewa na Mashujaa Musica Band.






0 comments:
Post a Comment