Nafasi Ya Matangazo

February 17, 2010

Balozi wa Ufaransa nchini Jacques de Labriolle (kushoto) akizungumza na Katibu Mkuu wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania na Meya wa Jiji la Dar es Salaaam, Alhaji Adam Kimbisa ofisini kwakwe kabla ya kupokea msaada.
Balozi wa Ufaransa nchini Jacques de Labriolle (kushoto) akizungumza na Katibu Mkuu wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania, Alhaji Adam Kimbisa baada ya Ubalozi huo kukabidhi vifaa vyenye thamani ya shilingi Milioni 100 kwaajili ya waathirika wa mafuriko Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro. Makabidhiano hayo yalifanyika leo Dar es salaam kamao makuu ya Msalaba Mwekundu Tanzania.
Posted by MROKI On Wednesday, February 17, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo