
Mbunge wa Kuteuliwa, Janet Zebedayo Mbene akiapa Bungeni Mjini Dodoma

Mbunge wa Kuteuliwa, Ismail Jussa Ladhu, akiapa Bungeni Mjini Dodoma.

Mbunge wa Kuteuliwa, Janet Zebedayo Mbene , akipokea kitabu cha kanuni za Bunge na Katiba kutoka kwa Spika wa Bunge , Samuel Sitta, Bungeni Mjini Dodoma

Mbunge wa Kuteuliwa, Ismail Jussa Ladhu , akipokea kitabu cha kanuni za Bunge na Katiba kutoka kwa Spika wa Bunge , Samuel Sitta, Bungeni Mjini leo.
0 comments:
Post a Comment