
Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe akizindua kitabu cha Mwandishi Mossy Magere (kulia) kinachohusu uchaguzi mkuu 2010 kilichobeba jina "Mshike Mshike wa kisiasa 2010",

Mwandishi wa Habari Mossy Magere akiwa ameshikilia nakala ya kitabu alichotunga baada ya waziri Chikawe kukizindua Dar es Salaam leo.

Nakala ya kitabu MSHIKE MSHIKE WA KISIASA 2010.uzinduzi uliofanyika Dar es Salaam leo.
Hicho ni kitabu au kijarida
ReplyDelete