Nafasi Ya Matangazo

January 31, 2010

Mgeni rasmi Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Amani Abeid Karume akitoa kadi kwa wanachama wapya katika uzinduzi wa maadhimisho ya miaka 33 ya Chama cha Mapinduzi kitaifa mjini Bagamoyo.
Makada wakila kiapo cha utii katika Chama.
Pia alikuwepo...
Pia alirejea kiapo chake cha Utii katika chama.
Halaiki ikionesha vitu vyake.
wanachama wakiwa katika viwanja vya sherehe
Kiongozi wa TOT Pluys Capt. John Damian Komba (MB) akitumbuiza.
Posted by MROKI On Sunday, January 31, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo