Nafasi Ya Matangazo

December 01, 2009

Mfungwa atunukiwa Shahada ya Sheria Ukonga Kwamara nyingine tena Mfungwa katika gereza la Ukonga Dar es Salaam ametunukiwa Shahada ya Sheria ya chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT). Ernest Michael (30) pichani alitunukiwa Shahada hiyo leo katika viwavya vya KM Garden Magereza Ukonga na Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Dk. Samuel Malecela katika mahafali ya aina yake na yapekee. Michael anatumikia kifungo cha miaka kumi jela kwa kosa la kukuta na madawa ya kulevya akiwa nchini Maritus na alianza kifungo chake nchini humo tangu mwaka 2001 kabla ya kuhamishiwa Ukonga miaka minne iliyopita na kujiunga na chuo hicho kwa masomo. Mfungwa wa kwabnza kutunikiwa Shada ya sheria akiwa gerezani ni Haruna Gomela ambaye sasa anasoma Mastars ya sheria.
Posted by MROKI On Tuesday, December 01, 2009 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo