Rais Kikwete apokea hati za Mabalozi wa Rwanda na Marekani Rais Jakaya Kikwete akipokea hati za utambulisho kutoka kwa balozi mteule wa marekani hapa nchini mheshimiwa alfonso lenhardt ikulu tarehe 12.11.09. baadaye rais kikwete alifanya mazungumzo na balozi huyo.
Rais jakaya kikwete akipokea hati za utambulisho kutoka kwa balozi mteule wa nchi ya rwanda mheshimiwa fatuma ndangiza nyirakobwa na baadaye rais kikwete alifanya mazungumzo na balozi huyo,ikulu,tarehe 12.11.09
0 comments:
Post a Comment