Mamlaka ya mapato nchini TRA kupitia wakala wake wa ukusanyaji madeni sugu kampuni ya MAJEMBE AUCTION MART "Vijana wa Kazi" leo wamepiga kufuli mali za kampuni ya kufua umeme ya DOWANS kutokana na TRA kuidai kampuni hiyo shilingi za kitanzania Bilioni 9,120,611,746 ya kodi zake mbalimbali.
Pichani juu ni baadhi ya mali za kampuni hiyo ya Dowans ambazo leo zimepigwa kufuli na iwapo deni hilo hatolipwa ndani ya siku 10 kuanzia leo mali hizo na mitambo itapigwa mnada hadharani.
Minyororo katika geti la dowans
0 comments:
Post a Comment