Nafasi Ya Matangazo

October 22, 2009

Leo nilitembelea mitambo ya kuzalisha umeme ya Songas na IPTL kule Tegeta, nikiwa na Waziri wa Niashati na Madini, William Ngeleja.
Selemani Mpocghi wa The Guardian Ltd akiangalia matanki ya kuhifadhia mafuta ya kuendeshea mitambo ya kuzalisha umeme ya kampuni ya IPTL.
Mwisho Waziri Ngeleja alizungumza na waandishi wa Habari juu ya ziara hiyo.
Posted by MROKI On Thursday, October 22, 2009 2 comments

2 comments:

  1. sasa ni huyu waziri tuu aliepewa helmet nyie wengine amhitaji au

    ReplyDelete
  2. Wizi Mtupu.

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo