Nafasi Ya Matangazo

September 22, 2009

Mtoto aliyepakiwa katika pikipiki bila kuvalishwa kofia maalum ya kujinga na madhara pindi apatapo ajali akiwa amelala huku mwendesha pikipiki hiyo akijaribu kumwasha kama alivyonaswa na camera yetu barabara ya Nyerere Dar es Salaam Septemba 21, 2009.
Baada ya mtoto kuamka aligeukia upande wa pili na kuendeleza libeneke la mbonji.
Posted by MROKI On Tuesday, September 22, 2009 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo