Nafasi Ya Matangazo

September 29, 2009

Timu ya Taifa ya Mpira wa Pete (Netiboli) ya Tanzania leo imelazimishwa sare ya bangili 31 kwa 31 dhidi ya Afrika ya Kusini katika mchezo wa Kimataifa wa mpira wa petre uliofanyika jioni hii Uwanja mpya wa Taifa Dar es Salaam.
Posted by MROKI On Tuesday, September 29, 2009 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo