August 08, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

Askari wa Jeshi la Polisi Steshen Sajent Aliko Mwakalindile wa Kitengo cha Uchunguzi wa Hati, maandishi na Noti Bandia akimuonyesha Mh. Rais Kikwete namna ya kutambua noti bandia na halisi kwenye viwanja vya maonyesho ya Nanenane mjini Dodoma .



0 comments:
Post a Comment