Nafasi Ya Matangazo

August 07, 2009

Mmoja wa majeruhi katika ajali ya basi la Jordan lenye namba T.562 AAMwa ajali hiyo, Mary Shalue (28) mkazi wa wilaya ya Iramba akimnyonyesha mtoto wake baada ya kupatiwa huduma ya kwanza katika hospitali ya mkoa Singida kabla ya uchunguzi zaidi jana. watu kumi walikufa papo hapo na wengine 35 kujeruhiwa.
Majeruhi akipelekwa wodini. Blogu hii ya jamii inawapa pole wafiwa wote na kuwatakia afya njema majeruhi./Picha www.habarileo.co.tz
Posted by MROKI On Friday, August 07, 2009 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo