
UBALOZI WA mAREKANI KABLA YA KULIPULIWA 1998


SEHEMU YA JENGO LA UBALOZI LILILOLIPULIWA AGOSTI 7 1998

MLIPUKO ULIVYOKUWA KATIKA UBALOZI WA MAREKANI JIJINI DAR ES SALAAM

MMOJA WA WAHANGA WA MLIPUKO VALENTINE KATULANDA HUO AKIWA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA MUHUMBILI.-JAMAA ALIFUKIWA NA KIFUSI

BAADHI YA WATU WALIOFARIKI KATIKA MLIPUKO HUO JIJINI DAR ES SALAAM AMBAPO WENGI WALIKUWA NI WALINZI NA WATUNZA BUSTANI


JIWE MAALUM LILILOPO KATIKA UBALOZI MPYA WA MAREKANI MSASANI JIJINI DAR ES SALAAM AMBALO LINA ORODHAYA MAJINA YA WALIOKUFA KATIKA MILIPUKO YA BALOZI ZA MAREKANI NCHINI AGOSTI 7 1998 TANZANIA NA NAIROBI.
Balozi za Marekani Dar es Salaam Tanzania na Nairobi Kenya wameadhimisha mika kumi ya kulipuliwa kwa balozi hizo kwa kuwakumbuka wale waliokufa na waliojeruhiwa katika ajali hiyo ya kigaidi iliyotokea Agosti 7 1998.
0 comments:
Post a Comment