Nafasi Ya Matangazo

June 14, 2008

Waziri wa maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Margaret Sitta (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma Junji 14, 2008 juu ya Maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika yatakayo fanyika Juni 16 mwakahuu nchini kote. Kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya watoto kutoka wizarani kwake, Alice Ruguyamheto.
Posted by MROKI On Saturday, June 14, 2008 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo